Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua mkutano wa kwanza unaojadili kuhusu kuangalia Biashara na Sekta Binafsi katika kuleta Maendeleo endelevu Nchini kwa ajili ya kufikia malengo 17 ya Maendeleo kwa Jamii.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na watendaji na washiriki wa Mkutano
wa kwanza unaojadili kuhusu kuangalia Biashara na Sekta Binafsi katika kuleta
Maendeleo endelevu Nchini kwa ajili ya kufikia malengo 17 ya Maendeleo kwa
Jamii baada ya kufungua Mkutano huo le katika Hoteli ya Hyatt
jijini Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment