Trending News

CCM Adverts and Promo

Tuesday, April 26, 2016

RAIS MAGUFULI AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WA WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO, FEDHA NA MIPANGO, TRA, BENKI KUU, TAKUKURU NA TCRA

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiongoza kikao cha kazi na watendaji wa serikali wakiwemo Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng.
John Kijazi, pamoja na ma-Katibu wakuu Wizara ya Mawasiliano Profesa
Faustine Kamuzora, Katibu Mkuu Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile,
Naibu Katibu Mkuu Fedha na Mipango Mhe Dottoa James, Gavana wa Benki Kuu
Profesa Benno Ndulu, Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Alphayo
Kidata, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Valentino Mlowola pamoja na
uongozzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na watendaji wengine.

No comments:

Post a Comment