Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na wananchi wa Halmashauri ya
Wilaya ya Lindi, kijiji cha Mtama
(hawapo pichani) wakati wa ziara yake katika Halmashauri Mkoa wa Lindi
na Mtwara kuangalia usikivu wa vituo vya Redio na Televisheni vya Shirika la
Utangazaji Tanzania (TBC).
|
No comments:
Post a Comment