Waziri wa afya,maendeleo ya Jamii,Jinsia,wazee na watoto wa Tanzania Mhe. Ummy Mwalimu (katikati) kifungua mkutano wa 12 wa baraza la mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Baadhi ya mawaziri wa baraza hilo wakiwa Kweye picha ya pamoja.
Mawaziri wa afya za nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa pamoja wa majadiliano kuhusu maendeleo endelevu ya kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini Arusha.




No comments:
Post a Comment