Trending News

CCM Adverts and Promo

Wednesday, July 6, 2016

NORWAY YATOA MSAADA KWA WAHANDISI WANAWAKE AMBAO WAMEHITIMU VYUO VIKUU


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani akizungumza wakati wa hafla fupi ya Kutiliana saini baina ya Bodi ya Usajili wa Waandisi (ERB) na Serikali ya Norway kuhusu msaada wa kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini ili waweze kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kusajiliwa kuwa Wahandisi kamili leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Balozi wa Norway hapa nchini Mhe. Hanne – Marie Kaarstad na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhandisi Profesa. Ninatubu Lema.
Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhandisi Profesa. Ninatubu Lema(katikati) akizungumza wakati wa hafla fupi ya Kutiliana saini baina ya Bodi ya Usajili wa Waandisi (ERB) na Serikali ya Norway kuhusu msaada wa kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini ili waweze kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kusajiliwa kuwa waandisi kamili leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani na kushoto ni Balozi wa Norway hapa nchini Mhe. Hanne – Marie Kaarstad

Msajili wa Bodi ya Usajili wa Waandisi (ERB) Mhandisi Steven Mlote akifafanua jambo wakati hafla fupi ya Kutiliana saini baina ya Bodi ya Usajili wa Waandisi (ERB) na Serikali ya Norway kuhusu msaada wa kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini ili waweze kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kusajiliwa kuwa waandisi kamili leo Jijini Dar es Salaam.

Msajili wa Bodi ya Usajili wa Waandisi (ERB) Mhandisi Steven Mlote akiwatambulisha baadhi ya wanawake wahitimu wa Vyuo Vikuu katika fani ya Uhandisi (waliosimama kulia) watakao nufaika na msaada wa kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini ili waweze kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kuwawezesha kusajiliwa kuwa Wahandisi kamili leo Jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Norway hapa nchini Mhe. Hanne – Marie Kaarstad akizungumza wakati wa hafla fupi ya Kutiliana saini baina ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Serikali ya Norway kuhusu msaada wa kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini ili waweze kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kusajiliwa kuwa Wahandisi kamili leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani  na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhandisi Profesa. Ninatubu Lema.

Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Profesa. Ninatubu Lema  na Balozi wa Norway hapa nchini Mhe. Hanne – Marie Kaarstad wakitia saini makubaliano ya msaada wa Dola za Kimarekani milioni 2 kwa ajili ya kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kusajiliwa kuwa Wahandisi kamili. Programu inayoanza 2016 – 2021. Wanaoshuhudia utiwaji wa saini ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani (nyuma kushoto),

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani (kulia) akifurahia jambo na Balozi wa Norway nchini Mhe. Hanne – Marie Kaarstad(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB),Mhandisi Profesa. Ninatubu Lema.  Mara baada ya kutiliana saini baina ya Bodi ya Usajili wa Waandisi (ERB) na Serikali ya Norway kuhusu msaada wa kuwawezesha wahitimu wa Kike wa masomo ya Uhandisi nchini ili waweze kujiendeleza kwa kupata uzoefu na kusajiliwa kuwa Wahandisi kamili leo Jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja  baadhi ya wanawake wahitimu wa Vyuo Vikuu katika fani ya Uhandisi watakao nufaika na msaada huo leo Jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Esther Kamulali (muhitimu wa UDSM 2014),Balozi wa Norway nchini Mhe. Hanne – Marie Kaarstad, Mambazi Godfrey na Tulinyake Lazarus (wahitimu wa chuo cha Mt. Joseph mwaka 2013).

Picha zote na: MAELEZO

No comments:

Post a Comment