Ndege
ya India aliyopanda Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ikiondoka kwenye uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kukamilisha ziara ya siku
mbili nchini Tanzania ambapo alisindikizwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Askari
wa Tanzania, akishusha Bendera ya Nchi ya India (kulia) kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere baada ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Narendra Modi kuondoka nchini baada
ya kumaliza ziara ya kikazi ya siku mbili aliyofanya nchini Tanzania.
Picha
zote na Hussein Makame
|
No comments:
Post a Comment