Trending News

CCM Adverts and Promo

Monday, June 23, 2014

VIONGOZI WA UMOJA WA WAZAZI



Umoja wa Wazazi Tanzania ambao hivi sasa unaongozwa na Alhaj Abdallah Majura Bulembo (MCC) MNEC ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Taifa. Na makamu wake ni Bibi Dogo Mabrouk. Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ni Ndugu Seifu Shaaban Mohamed.

Jumuiya ya Wazazi Tanzania ina manaibu Katibu wakuu wawili. Kutoka Zanzibar ni Bibi. Najma Murtaza Giga na Naibu Katibu kutoka Bara Ndugu Glorius Bernard Luwoga.

No comments:

Post a Comment