Mhe.Rais, Dkt.John Pombe Magufuri amewapisha rasmi mawaziri aliowateua tarehe 1012/2015 nakuagiza waanze kazi kwa kasi na ufanisi kama alivyowanadi katika kampeni kuwa sasa ni muda wa kuchapa kazi tu "Hapa Kazi Tu".
Pia ameokoa zaidi ya bilioni mbili zilizotengwa kwaajili ya semina elekezi kwa mawaziri nakuagiza zitatumika katika huduma muhimu za kijamii.
 |
Mhe.Rais Dkt.John Magufuri(katika),Mhe.Makamu wa Rais Bi.Samia Suluhu(Kushoto)
na Mhe.Waziri Mkuu -Kassim Majaliwa.
BARAZA LA MAWAZIRI
Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala
Bora.Mawaziri - George Simbachawene
na Angella Kairuki Naibu Waziri -
Sumeilam Jafo. Naibu.
Wi zara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na
MazingiraWaziri - January Makamba
Naibu Waziri – Luhaga Jerrson Mpina
Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na
WalemavuWaziri - Jenista Muhagama
MaNaibu – Dkt. Possy Abdallah na Anthony
Mavunde.
 |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimwapisha Naibu Waziri wa Sera Bunge, Bunge Kazi, vijana, Ajira na Walemavu Dk Abdalla Posi Ikulu Dar es salaam.
|
Wizara ya Kilimo, Mifugo na UvuviWaziri - Mwigulu
Nchemba
Naibu Waziri - William Ole Nasha
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.Waziri Bado
hajapatikana.
Naibu Waziri – Inj. Edwin Ambandusi Ngonyani
Wizara ya Fedha na MipangoWaziri Bado hajapatikana.
Naibu
Waziri - Ashantu Kizachi
Wizara ya Nishati na MadiniWaziri - Prof. Mwigalumi
Muhongo.
Naibu Waziri - Medalled Karemaligo.
Wizara ya Katiba na Sheria,Waziri - Harrison Mwakyembe
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afika Mashariki,
Kikanda na Kimataifa.Waziri - Dk. Augustino Mahiga
Naibu Waziri – Dkt. Susan
Kolimba.
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga TaifaWaziri - Dk.
Hussein Mwinyi
Wizara ya Mambo ya NdaniWaziri - Charles Kitwanga
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.Waziri -
William Lukuvi
Naibu Waziri - Angelina Mabula
Wizara ya Maliasili na UtaliiWaziri Bado hajapatikana.
Naibu Waziri–
Inj. Ramol Makani
Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.Waziri Charles
Mwijage.
Wizara ya Elimu,Sayansi Teknolojia na Ufundi.Waziri Bado
hajapatikana.
Naibu Waziri – Inj. Stella Manyanya
Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na WatotoWaziri
- Ummy Mwalim
Naibu Waziri – Dkt. Hamis Kigwangala
Wizara ya Habari, Utamadu, Wasanii na MichezoWaziri - Nape
Nnauye
Naibu Waziri - Anastasia Wambura.
Wizara ya Maji na UmwagiliajiWaziri – Prof. Makame
Mbarawa
Naibu Waziri– Inj. Isack Kamwela
|
No comments:
Post a Comment