Trending News

CCM Adverts and Promo

Tuesday, February 16, 2016

Dr. Ramadhan Dau, Asharose Migiro na Mathias Chikawe wateuliwa kuwa Mabalozi

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ,Mhe.Dr.John Pombe Magufuri amewateua Dr.Ramadhan Dau,Dr.Asharose Migiro na Ndg.Mathias Chikawe kuwa mabalozi....Vituo vya kazi watapengiwa mara baada ya taratibu za kidiplomasia.

Ndg.Mathias Chikawe




Dr.Ramadhan Dau



Dr.Asharose Migiro



Kwaniaba ya Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro ,Mnykt.Bi.Mecktridis Mdaku anapenda kuwapongeza kwa kupewa kazi muhimu ya kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na nchi watakazopangiwa.






No comments:

Post a Comment