Sherehe za kutimiza miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM imefanyika tar 5/02/2016 kimkoa katika wilaya ya GAIRO ikiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi (M)Morogoro , Bi.Mecktridis Mdaku.
Sherehe hizo ziliambatana na shughuli za kijamii ambapo miti ilipandwa na usafi wa mazingira ulifanyika katika kilele hicho.
 |
Buradani ya ngoma ilitia fora katika sherehe za miaka39 ya kuzaliwa CCM
|
 |
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Morogoro,Mecktridis Mdaku akipitia ripoti ya Jumuiya ya Wazazi CCM
|
 |
Wanachama wa CCM wakishiriki kazi ya kupanda miti siku ya sherehe ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM
|
 |
Hapa Kazi Tu !!!...Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM mkoa wa Morogoro,Bi.Meckridis Mdaku akipanda mti.
|
Kauli mbiu ya mwaka huu ni "SASA KAZI, KUJENGA NCHI NA KUKIJENGA CHAMA.,"
No comments:
Post a Comment