Meneja
Wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Bw.
Elineema Mkumbo akitoa wito kwa watanzania kuunga mkono juhudi za Serikali
kufikisha nishati ya Umeme kwa watanzania wote kwa kushirikiana na wadau
mbalimbali. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini Bw.Lutengano Mwakahesya.
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini
Bw.Lutengano Mwakahesya akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa miradi
mbalimbali ambapo zaidi ya Bilioni 435 zinatarajiwa kutumika kutekeleza miradi
ya kupeleka umeme katika maeneo mbalimbali hapa nchini lengo likiwa kuwafikia
watanzania wote. kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo bw. Frank
Mvungi.
No comments:
Post a Comment