Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akilakiwa na Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani wa Kanisa la Kiinjili ka Kilutheri Tanzania Dkt. Alex Malasusa alipowasili kuhudhuria ibada ya Pasaka.
Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dkt.Alex Malasusa akizungumza jambo mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kuhutubia waumini na wageni mbalimbali waliohudhuria Ibada ya Pasaka katika kanisa la KKKT Azania Front Jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwasalimia waumini wa Kanisa la KKKT Azania Front mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Pasaka.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtot Javiera Lymo mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es salaam. Picha/Ikulu.






No comments:
Post a Comment