Mkutano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaanza leo mjini Dodoma kwa shughuli zifuatazo;
(i) Kiapo cha Uaminifu;
(ii) Maswali;
(iii) Mpango wa Pili wa Maendeleo ya Taifa wa miaka mitano
(2016/17 – 2020/21).
Pia kitafanyika Kikao cha Briefing kwa Wabunge wote (Ukumbi wa Bunge) pia Kikao cha pamoja cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti (Ukumbi wa Spika).
No comments:
Post a Comment