Trending News

CCM Adverts and Promo

Saturday, April 9, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKAGUA MASHINE YA MRI KATIKA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA UDOM


Waziiri Mkuu, Kassim Majliwa kaikagua mashine ya MRI katika hospitali
ya Benjamin Mkapa kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma wakati alipoitembela  Aprili
9, 2016. Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Hamis Kigangwala.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Khamis
Kigangwala wakikagua mashine ya Mobile Digital xray wakati  walipotembelea
hospitali ya Benjamin Mkapa kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Aprili 9, 2016
. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Hospitali hiyo ProfesaGesai. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu
)

No comments:

Post a Comment