Trending News

CCM Adverts and Promo

Monday, April 11, 2016

ZIARA YA WAZIRI MKUU MHE.KASSIM MAJALIWA KWENYE JIMBO LAKE LA UCHAGUZI LA RUANGWA.

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akisalumiana na wananchi wa  kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa mara baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara  kijijini hapo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa.


anchi wa  kijiji cha Namahema wilayani Ruangwa (jina halikupatikana) akimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati aipohutubia mkutano wa hadhara  kijijini hapo, Aprili 10, 2016.



 Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa na Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi  wakizungumza   na mwendesha pikipiki maarufu na hodari, Zaina Amour wa kijiji cha Nandagara wilayani Ruangwa Aprili 10, 2016. Alikuwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



No comments:

Post a Comment