RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KUKABIDHIWA KIJIKI CHA UENYEKITI WA CCM LEO.
Mwenyekiti wa CCM ambaye leo anatarajiwa kukabidhi kijiti kwa Mwenyekiti Mpya,Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Kikwete,akifafanua jambo wakati akisoma hotuba yake ya Mwisho katika kiti hicho.
No comments:
Post a Comment