Mwenyekiti wa JUMUIYA YA WAZAZI CCM-MKOA WA MOROGORO,Bi.Mecky Mdaku anapenda kutoa pongezi za dhati kutoka kwa wanachama wote wa CCM mkoa wa Morogoro kwa ushindi mnono alioupata RAIS mteule Dr.John Pombe Magufuli na kumtakia kila la heri katika kutimiza ahadi zote kwa Watanzania wote na kuleta kiu ya mabadiliko ya kweli.
VIVA DR.JP MAGUFULI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No comments:
Post a Comment