Trending News

CCM Adverts and Promo

Thursday, November 19, 2015

MH.KASSIM MAJALIWA ATEULIWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Mh.Rais,Dkt.John Pombe Magufuli amemteua Ndg.Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa serikali.
Uteuzi wake umethibitishwa na Bunge leo hii baada ya kupigiwa kura nakupata 73%.

Mh.Kassim Majaliwa ataapishwa rasmi  kesho katika Ikulu ndogo ya Rais,Chamwino-DODOMA ,shughuli hii itafanywa na Mh.Rais,Dkt.John Pombe Maguffuli.

Mh.Kassim Majaliwa-Waziri Mkuu

Mwenyekiti wa Jummuiya ya Wazazi CCM-Morogoro,Bi.Mecky Mdaku anapenda kumpongeza kwa dhati Mh.Kassim Majaliwa na kumtakia kila kheri katika utekelezaji wa majukumu ya kitaifa.
Mungu ibariki Tanzania !!!!!

No comments:

Post a Comment