Trending News

CCM Adverts and Promo

Friday, March 18, 2016

KATIBU MKUU IKULU AKABIDHI GARI JIPYA LA WAGONJWA KWA HOSPITALI YA WILAYA YA CHALINZE KWA NIABA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

 Katibu Mkuu wa Ikulu Peter Ilomo akimkabidhi funguo za gari jipya la wagonjwa Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa ajili ya shughuli ya  kubebea wagonjwa katika hospitali ya Wilaya ya Chalinze. Tukio hilo liMefanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akishukuru na kufurahi mara baada ya kukabidhiwa gari la kubebea Wagonjwa na Katibu Mkuu wa Ikulu Peter Ilomo aliyelikabidhi gari hilo kwa niaba ya Rais  leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment