Trending News

CCM Adverts and Promo

Friday, March 18, 2016

TASAF YAPATIWA DOLA MILIONI 665 KUNUSURU KAYA MASIKINI NCHINI


Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana mkataba wa makubaliano na  Mwenyekiti wa Wadau wa Maendeleo nchini ambaye pia ni Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia Bi. Bella Bird (kushoto) mara baada ya kusaini makubaliano ya jumla ya Dola za Kimarekani milioni 665 zilizotolewa na Wadau hao ili kusaidia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini nchini.

No comments:

Post a Comment