Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akizungumza na Balozi wa Iran Nchini Tanzania Mhe. Mehd Aghajafari wakatiBalozi huyo alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo April11,2016, kwenye mazungumzo yao Viongozi hao wamezungumzia suala la kukuzaUshirikiano kati ya Nchi mbili hizi.
Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokeaCheti maalum kutoka kwa Muwakilishi wa Jumuiya ya Watu wenye ulemavu NchiniBibi Stela Jailos kwa ajili ya kutambua mchango mkubwa wa Serikali ya awamu ya5 kwa Watu wenye Ulemavu.(Picha na OMR)
No comments:
Post a Comment